Utekaji nyara wa Gumsuri ulitokea mnamo Desemba 13 mwaka 2014, ambapo takribani wanakijiji 172-185 katika kijiji cha Gumsuri walitekwa nyara, wakishukiwa kutekwa na Boko Haram. Watu 32-35 waliuawa.[1] [2] [3]
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search