Utekaji nyara wa Gumsuri

Utekaji nyara wa Gumsuri ulitokea mnamo Desemba 13 mwaka 2014, ambapo takribani wanakijiji 172-185 katika kijiji cha Gumsuri walitekwa nyara, wakishukiwa kutekwa na Boko Haram. Watu 32-35 waliuawa.[1] [2] [3]

  1. C. L. Stanley (2000). "How well do we take care of our people?". PsycEXTRA Dataset. Iliwekwa mnamo 2021-06-26.
  2. C. L. Stanley (2000). "How well do we take care of our people?". PsycEXTRA Dataset. Iliwekwa mnamo 2021-06-26.
  3. C. L. Stanley (2000). "How well do we take care of our people?". PsycEXTRA Dataset. Iliwekwa mnamo 2021-06-26.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search